IRANI YATOA WARRANTY YA KUKAMATWA KWA RAISI WA MAREKANI

 Taifa la @iran limetoa warranti ya kukamatwa
kwa raisi wa marekani @ d.trump na wanajeshi wake wapatao
35 kwa kosa la kuhusika na kifo cha  jenerali wa iran  aliyejulikana 
kama qassem soleiman ambaye aliuawa siku chache zilizo pita
kwa msaada wa jeshi la marekani  .. hivyo iran wameomba shirika na
jeshi la usalama la kimataifa @international police kuwasaidia kuwasilisha 
swala  hilo mahakamani na kulishugullikia
Share:

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Blog Archive

Recent Posts