
Akizungumza na vyombo vya habari
inspekta generali wa polisi kanda ya kaskazini amesema wanawashikilia
vijana watano kwa tuhuma za kujihusisha na wizi wa vifaa vya ujenzi
wa mradi wa viktoria . hivyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa
ili kutokomeza kabisa vitendo hivyo viovu
No comments:
Post a Comment