JESHI LA POLISI LINAWASHIKILIA VIJANA WATANO KWA WIZI WA VIFAA VYA MRADI WA ZIWA VICTORIA

 Akizungumza na vyombo vya habari   
inspekta  generali wa polisi kanda ya kaskazini amesema  wanawashikilia 
vijana watano kwa tuhuma za kujihusisha na wizi wa vifaa vya ujenzi
wa mradi wa viktoria  . hivyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa
ili kutokomeza kabisa vitendo hivyo viovu
Share:

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Blog Archive

Recent Posts