Juventus wamekubali kulipa ada ya pauni 72.5
kwa fc barcelona kumsajili kiungo wa kimataifa mbrazil @arthur.........
kiungo huyo alijiunga na barca 2018 kwa euro mil 27 kutoka gremio
akaceza mara 27 katika laliga kwenye msimu wake wa kwanza bila goli
na msimu huu kacheza mara 19 na magori matatu
No comments:
Post a Comment