KLABU YA JUVENTUS IMEKUALI KULIPA ADA YA PAUNI 72.5 MILL KUMSAJILI @ARTHUR


 Juventus wamekubali kulipa ada ya pauni  72.5
kwa fc barcelona  kumsajili kiungo wa kimataifa  mbrazil  @arthur.........
kiungo huyo alijiunga na barca 2018 kwa euro mil 27 kutoka gremio
akaceza mara 27 katika laliga kwenye msimu wake wa kwanza bila goli 
na msimu huu kacheza mara 19 na magori matatu
Share:

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Blog Archive

Recent Posts