WIMBO WA AMABOKO WA VANNYBOI NA DIAMOND WALETA BALAA MITANDAONI

 Lebo ya muziki ya  wasafi kupitia wasanii wake
nguli @diamond  na @ rayvanny wameachia ngoma mpya 
inayoenda kwa jina la @amaboko . ngoma hiyo bado inafanya 
vizuri  katika  mitandao kwani kwa siku moja imeweza kufikia
watazamaji  505k  idadi hiyo ikiwa imevunja rekodi ya nyimbo zote
kuwahi kuwekwa youtube 
Share:

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Blog Archive

Recent Posts