Lebo ya muziki ya wasafi kupitia wasanii wake
nguli @diamond na @ rayvanny wameachia ngoma mpya
inayoenda kwa jina la @amaboko . ngoma hiyo bado inafanya
vizuri katika mitandao kwani kwa siku moja imeweza kufikia
watazamaji 505k idadi hiyo ikiwa imevunja rekodi ya nyimbo zote
kuwahi kuwekwa youtube
No comments:
Post a Comment