gadner ameamua kusema hayo ikiwa ni gumzo linaendelea
baada ya billionea laizer kuchimba mawe ya tanzanite yenye
kilo 15 na thamani ya billioni 7.8 na kutangazwa kuwa na
yeye kuhesabiwa miongoni mwa mabillionea tanzania
taarifa hizo zikaibua gumzo na kumfanya laizer kupata
lina kwani wasanii na watu wakubwa wameanza
mahusiani naye ya kila namna
No comments:
Post a Comment