CHUONI MWANAFUNZI AUAWA NA MWENZIE WAKIMGOMBANIA SAIDA "WADAI WOTE ALIKUA MPENZI WAO"

 Kamanda wa jeshi la polisi mkoani tanga
blasius chatanda amedhibitisha kifo cha mwanafunzi 
mmoja khange hussein ally aliyefanyiwa kitendo hicho
na mwanafunzi mwenzake ambaye ni waziri hassan
kwa kitendo cha kumgombania msichana 
aliyakua anajulikana kwa jina moja
@saida
Share:

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Blog Archive

Recent Posts