TUKUMBUKE KUWA SISI WOTE NI WAMOJA TUWEKE KASORO ZETU PEMBENI

 Hongera  umefanya  jambo la heri sana
... pichani ni msanii na mmiliki/ mwanzilishi wa lebo ya konde music
world wide @harmonize akiwa  katika kanzu wakati akijiweka 
wakfu kushiriki katika mazishi ya aliyekua mke wa mmoja wa 
mameneja wa lebo ya @WCB ....washabiki wamempongeza msanii 
huyo  kwa kitendo chake cha kiungwana kwani aliweka kasoro
zao pembeni na kushirikiana kwenye wakati washida na raha  
Share:

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Blog Archive

Recent Posts