... pichani ni msanii na mmiliki/ mwanzilishi wa lebo ya konde music
world wide @harmonize akiwa katika kanzu wakati akijiweka
wakfu kushiriki katika mazishi ya aliyekua mke wa mmoja wa
mameneja wa lebo ya @WCB ....washabiki wamempongeza msanii
huyo kwa kitendo chake cha kiungwana kwani aliweka kasoro
zao pembeni na kushirikiana kwenye wakati washida na raha
No comments:
Post a Comment