"MLITAKA NIFE" VANESSA MDEE AFUNGUKA MAUZAUZA ALIYOKUTANA NAYO KWENYE MUZIKI"

 Msanii wa  bongo fleva nchini tanzania  
@vanessa mdee ameamua kufunguka na kutoa sababu zilizo
mfanya yeye akaacha muziki .aelezea mazito yaliyo mkuta
asema kuna wale waliotaka afe kwani wame mletea mauzauza ya ajabu
ambayo yalikua yanamnyima raha na kumfanya achukue maamuzi magumu
Share:

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Blog Archive

Recent Posts