
Msanii wa bongo fleva nchini tanzania
@vanessa mdee ameamua kufunguka na kutoa sababu zilizo
mfanya yeye akaacha muziki .aelezea mazito yaliyo mkuta
asema kuna wale waliotaka afe kwani wame mletea mauzauza ya ajabu
ambayo yalikua yanamnyima raha na kumfanya achukue maamuzi magumu
No comments:
Post a Comment