KIFO NI AHADI AMBAYO KILA MWANADAMU ATAPITIA RIP SHAMMY

 Pichani ni mwanadada na mke wa mmoja wa 
viongozi waliokatika menejimenti ya wcb babu tale.
mwanadada huyo ajulikanaye kama @shammy 
anasadikika kupoteza maisha siku ya leo tar 28/06/2020
akiwa hospitalini alipo lazwa baada ya kuzidiwa 
akiwa nyumbani na kukimbizwa hospitalini 
hapo  roho  wa MUNGU ailaze mahala
pema peponi roho ya marehemu 
@shammy
Share:

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Blog Archive

Recent Posts