viongozi waliokatika menejimenti ya wcb babu tale.
mwanadada huyo ajulikanaye kama @shammy
anasadikika kupoteza maisha siku ya leo tar 28/06/2020
akiwa hospitalini alipo lazwa baada ya kuzidiwa
akiwa nyumbani na kukimbizwa hospitalini
hapo roho wa MUNGU ailaze mahala
pema peponi roho ya marehemu
@shammy
No comments:
Post a Comment