LAVALAVA AMKA HATUKUONI UKITUSUA NJE YA WCB

 Kauli hizo zimetolewa na mashabiki wa kweli
wa msanii huyo @lavalava wakimtaka afunguke na kuchukua
uamuzi mgumu wa kujiletea mabadiliko kwan huko aliko kwa 
wakati huu si pazuri pameshapooza yeye hasikiki kabisa na kipaji
kitapotea kwani husikiki mpaka vijana wa juzi wanataka kukupita
levo yako jiongeze tafuta mabadiliko

Share:

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Blog Archive

Recent Posts