wa msanii huyo @lavalava wakimtaka afunguke na kuchukua
uamuzi mgumu wa kujiletea mabadiliko kwan huko aliko kwa
wakati huu si pazuri pameshapooza yeye hasikiki kabisa na kipaji
kitapotea kwani husikiki mpaka vijana wa juzi wanataka kukupita
levo yako jiongeze tafuta mabadiliko
No comments:
Post a Comment