MASTA JAY ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA UBUNGE ROMBO

 Aliyekuwa  mmoja kati ya majaji wa 
shindano la bongo star search  tanzania bwana ajulikanaye
kwa jina la @ masta jay baada ya kuacha gumzo alipotoa
kauli ya kutaka kuwania ubunge jimboni rombo  ameamua
kuvunja ukimya na kutaka kueleza nia za msingi zilizo mpelekea
yeye kuchukua uamuzi huo "nataka  kuleta maendeleo jimboni
 kwangu "kauli hiyo aliitoa kama kielelezo tosha cha nia yake
Share:

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Blog Archive

Recent Posts