DIDA "UJINGA TULIFANYA ZAMANI SASA NI PESA TU"

 Mtangazaji huyo nguli wa wasafi fm @khadija shaibu  ajulikanae  kama dida  ameamua kufunguka na 
kusema  maisha yanabadilika na sasa ni wakati wa 
kupambania maisha na kusaka hela kwani uko nyuma 
ameanya mengi  na  alipofika inatosha sasa ni muda wa
kufikiria kivingine na kutafuta maisha 
Share:

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Blog Archive

Recent Posts