Mtangazaji huyo nguli wa wasafi fm @khadija shaibu ajulikanae kama dida ameamua kufunguka na
kusema maisha yanabadilika na sasa ni wakati wa
kupambania maisha na kusaka hela kwani uko nyuma
ameanya mengi na alipofika inatosha sasa ni muda wa
kufikiria kivingine na kutafuta maisha
No comments:
Post a Comment