MEMBE " NIMEFUKUZWA CCM BILA IDHINI YA NEC WAKINISAFISHA KESHO ASUBUHI NATINGA KUCHUKUA FOMU YA URAISI "

 Aliyekuwa  waziri wa mambo ya nje tanzania
dk benerd membe  ambaye alikua anahusishwa na
kosa la kumsema vibaya mwenyekiti wake raisi 
mhesh magufuli alipewa adhabu ya kufutwa uanachama
wa chama cha ccm sasa atangaza kuwania uraisi 
kwa mara nyingine
Share:

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Blog Archive

Recent Posts