TUMEKUCHOKA BWANA KILA SIKU UNARUDIA KITU KIMOJA BADILIKA KIDOGO

 Pichani ni mke wa mc pilipili akiwa amepostiwa 
dakika 50 zilizopita .posti hiyo imezua gumzo na kuamsha
hisia za watanzania wengi wakimtaka mc pilipili apunguze au aache
kabisa kitendo cha kumpromo / kumpigia debe sana mkewe 
kwamba ni mzuri sana  kisa  amemzalia mtoto .watu wamemtaka
apunguze ilo kwani ni ushamba sababu duniani wazuri wengi 
na pia wanazaa vilevile kama mkewe
Share:

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Blog Archive

Recent Posts