YOUNG KILLER "WOLPER ALINIFUMANIA NIKIWA NA MWANAMKE MWINGINE CHUMBANI "

 Mwana muziki wa hiphop  bongo 
msodoki young killer amesema hayo baada mmoja  wa  mashabiki wake 
kutaka kujua nini chanzo  cha wawili wao kutengana  akasema haya alifumaniwa 
na msichana mwingine chumbani na wolper kuamua kwenda kuvishwa pete
na mtu mwingine kwa haraka bila kufikiria akitaka kuniumiza kumbe
 mimi siumii maisha yanaendelea
Share:

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Blog Archive

Recent Posts