MWANAMUZUKI DON DIABLO WA NETHERLAND ATANGAZA KOLABO NA MARSHMELLOW

 Rapa from netherland @ dondiablo  ametangaza
kuachia ngoma yake mpya na msanii marshmellow hivi karibuni 
baada ya janga la corona hivyo washabiki wake wasione yupo
kimya mambo yapo stage ya mwisho kuachiwa kwa  washabiki
wake
Share:

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Blog Archive

Recent Posts