NDEGE YAANGUKA NCHINI MEXICO WATU 6 WAPOTEZA MAISHA

 Watu sita wamepoteza   maisha baada ya ndege 
ndogo kuanguka nchini  mexico  jimboni  chinhuahua 
kulingana na taarifa zilizopatikana ndege hiyo aina  ya 
TU206G ilikua ikifanya safari yake humo jimboni 
chunhuahua na hitifala za ghafla kutokea na
kusababish @leonila gonzalez olivas 
na wengine watano kupoteza maisha

Share:

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Blog Archive

Recent Posts