KWELI TUMEYAONA BABA UTAPITA TENA

 Pichani  ni  raisi wa jamuhuri ya muungano 
wa tanzania mhesh john pombe joseph magufuli   pembeni ikioneshwa 
baadhi tu ya miradi mikubwa iliyo tekelezwa na raisi kipindi cha muhula
wake wakwanza kwa hali ya juu hii yaonesha uchapa kazi wake hivyo watu 
wamependekeza apitishwe muhula wapili bila pingamizi
Share:

2 comments:

Popular Posts

Blog Archive

Recent Posts