HABARI NJEMA KUTOKA SHIRIKA LA NDEGE LA KLM KWA WATANZANIA WOTE

 Shirika  la  ndege la  ulaya la klm linaya furaha 
kuwataarifu  watanzania wote kuwa  limeboresha huduma 
zake ili kurahisisha ratiba na kupunguza makosa yaliyo kuwa yakitokea
pia wanampango wahivi karibuni kupunguza bei ya usafiri 
kwa watanzania kwenye kipindi spesho ili watanzania wa hali 
zote waweze kupata na kufurahia huduma zao
Share:

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Blog Archive

Recent Posts