kwa raisi wa marekani @ d.trump na wanajeshi wake wapatao
35 kwa kosa la kuhusika na kifo cha jenerali wa iran aliyejulikana
kama qassem soleiman ambaye aliuawa siku chache zilizo pita
kwa msaada wa jeshi la marekani .. hivyo iran wameomba shirika na
jeshi la usalama la kimataifa @international police kuwasaidia kuwasilisha
swala hilo mahakamani na kulishugullikia