WATU 14 WAMEUAWA NA 90 KUJERUHIWA KATIKA SHAMBULIZI NCHINI MAREKANI

 Watu 14 wameuawa na wengine  kujeruhiwa nchini marekani baada ya shambulio la silaha  kufanywa na vijana
wasiojulikana baada ya kuvamia benki ya mjini chicago .tukio 
hilo limetokea usiku wa kuamkia jumatatu .watu hao bado wanaendelea
kufatiliwa najeshi la polisi nchini hapo ili wasiweze kutoroka 
Share:

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Blog Archive

Recent Posts