Watu 14 wameuawa na wengine kujeruhiwa nchini marekani baada ya shambulio la silaha kufanywa na vijana
wasiojulikana baada ya kuvamia benki ya mjini chicago .tukio
hilo limetokea usiku wa kuamkia jumatatu .watu hao bado wanaendelea
kufatiliwa najeshi la polisi nchini hapo ili wasiweze kutoroka
No comments:
Post a Comment