SHIRIKA LA NDEGE LA FASTJET KURUDISHA SAFARI ZAKE , KWA KISHINDO BEI ZA NAULI ZASHUKA

 Shirika hilo la usafiri wa anga tanzania linayo furaha
kwanza kwa kuwashukuru watanzania kwakuonesha ushirikiano
nao kwa miaka kitano sasa .hivyo shirika hilo limeamua kupitish
ofa maalum kwa watanzania wote ili tuendelee kufurahia huduma
zao .  shirika limefungua safari ya dar mpaka  kilimanjaro
kwa bei  nafuu kabisa tsh69,000 
Share:

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Blog Archive

Recent Posts