bomgo fleva mwanafa kutangaza kutaka kuwania ubunge zimezuka
taarifa mbalimbali zikisema kwamba msanii huyo yupo katika wakati
mgumu baada ya watu wasiojulikana kumtia vitisho na kumtaka yeye
aachane na nia hiyo kwani ubunge sio fani yake.amesema hayo akiwa katika
hali ya hofu kwani anasema watu wale hawana utani wasije mdhuru
No comments:
Post a Comment