
Akiwa katika hatua za mwisho za kuchukua
majukumu mazito ya kuongoza mkoa wa arusha mhesh .idd kimanta
ameapa kuongoza mkoa wa arusha vyema na kuweka sawa yale
makosa na madhaifu yote ya kiongozi aliyepita ili kuweza kuleta maendeleo
katika mkoa wake na kuufanya uendembele
No comments:
Post a Comment