SAWA NIMEKUBALI KUWATUMIKIA

 Akiwa  katika hatua za mwisho  za kuchukua 
majukumu mazito ya kuongoza mkoa wa arusha mhesh .idd kimanta
ameapa kuongoza mkoa wa arusha vyema  na kuweka sawa yale
makosa na madhaifu yote ya kiongozi aliyepita  ili kuweza kuleta maendeleo 
katika mkoa wake na kuufanya uendembele
Share:

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Blog Archive

Recent Posts