JAMANI UCHAWI BADO UPO KWENYE MPIRA TUWE MAKINI

 Mmoja wa wachezaji wa timu ya ---------------
akiwa amejipanga kuikabili mechi inayomsubiri huku akiwa
hajiamini kwani camera zimemnasa akiwa na tambiko mguuni
ambalo anaamini litaweza msaidia yeye na timu yake katika
mchezo wa leo kupata ubingwa.matokeo yametoka wametoka
sare ya bao 2-2
Share:

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Blog Archive

Recent Posts