
Mwana muziki huyo wa miondoko ya RNB
nchini marekani amekanusha kashfa hizo zinazomkabili
kwani watu wawili wasiojulikana kupitia ukurasa wa twitter
wametuma ujumbe wakimshtumu justine beiber kwa
kitendo hicho ...lakini mwenyew justine
amekanusha taarifa hizo
No comments:
Post a Comment