JAYDE ATOA POLE KWA WASICHANA WAKIKE ASEMA WANAPITIA MENGI HADI WANATOBOA

Msanii maarufu wa bongo fleva  judith wambura
maarufu kama  lady jay dee  ametumia fursa hii kuwapa pole 
wasanii wakike ambao yamewakuta mengi na wengine bado 
yanawakuta .anaeleza kuwa wasanii wengi wakike wamekua 
wakipitia masharti magumu hadi kutoka kisanaa .hivyo aanatoa
rai kwa wanawake kupinga vitendo hivyo visivyofaa kwa jamii
Share:

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Blog Archive

Recent Posts