MSANII NGULI WA BONGO FLEVA TANZANIA KONDE BOY AMEKIRI KUUMIZWA NA WOLPER NA KUMUANDIKIA WIMBO NISHAPONA ULIOGHARIMU SHILINGI MILL.4

 Msanii na mmiliki wa lebo ya konde music world wide  amekiri na kusema kuwa mchumba wake wa zamani 
jackline wolper alimuumuza sana  na kumburuza  kipindi cha 
uhusiano wao ila leo amesahau yote kwani yupo mahali
salama kwa mpenzi wake mpya  @sarah 
Share:

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Blog Archive

Recent Posts