-
WHERE PEACE IS VUNERABLE
Due to the racial murder of our fellow black GEORGE FLORID peace has been a topic for may countries in america and asia .
-
This is a happy smiley face
Always be happy because happinness brings away all sorrows and peace of mind.
-
THA AMAIZING FACTS OF THE FLOURIST
Meet the best flourist proffession for caring,supply,maintanace advice so that people can keep the flour.
-
THE GREAT CHINA TOWN
This is the almighty city developed in acountry where chines people can be found in clans.
-
THE BIGGEST FACTOR FOR ECONOMY
This helps people earn living because bussines happens all the time no matter the hazard present in the area.
MASTA JAY ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA UBUNGE ROMBO
shindano la bongo star search tanzania bwana ajulikanaye
kwa jina la @ masta jay baada ya kuacha gumzo alipotoa
kauli ya kutaka kuwania ubunge jimboni rombo ameamua
kuvunja ukimya na kutaka kueleza nia za msingi zilizo mpelekea
yeye kuchukua uamuzi huo "nataka kuleta maendeleo jimboni
kwangu "kauli hiyo aliitoa kama kielelezo tosha cha nia yake
LAVALAVA AMKA HATUKUONI UKITUSUA NJE YA WCB
wa msanii huyo @lavalava wakimtaka afunguke na kuchukua
uamuzi mgumu wa kujiletea mabadiliko kwan huko aliko kwa
wakati huu si pazuri pameshapooza yeye hasikiki kabisa na kipaji
kitapotea kwani husikiki mpaka vijana wa juzi wanataka kukupita
levo yako jiongeze tafuta mabadiliko
NDEGE YAANGUKA NCHINI MEXICO WATU 6 WAPOTEZA MAISHA
ndogo kuanguka nchini mexico jimboni chinhuahua
kulingana na taarifa zilizopatikana ndege hiyo aina ya
TU206G ilikua ikifanya safari yake humo jimboni
chunhuahua na hitifala za ghafla kutokea na
kusababish @leonila gonzalez olivas
na wengine watano kupoteza maisha
WAANDANANAJI NCHINI MAREKANI WAFIKA WHITE HOUSE RAISI @D.TRUMP ATOROSHWA NA HELIKOPTA
wakiwa wamevamia ikulu kwaajili ya kuvunja masanamu
yote ya wanaharakati walio shiriki kueneza ubaguzi wa rangi
raisi trump akiwa ndani walinzi walifanikiwa kumuondoa akiwa salama kwa
helikopta na kumpeleka arizona kumuhifadhi kule a saini
mkataba wa @executive order
ili kuwa adhibu wale wote waliohusika
KWELI KAKA TUPO TUNAKUSAPOTI NYUMA YAKO WEWE SONGA MBELE
tathmini na pongezi watanzania kwa kuweza kuendelea kushika chati
kwa kuongoza views kwenye channel ya youtube kwa nchi zote za
afrika zilizo chini ya jangwa la sahara ..anasema rekodi hiyo imeshikwa
na watanzania kwa muda nakumfanya diamond platmunz kuendelea
kun,gara kileleni
KWELI TUMEYAONA BABA UTAPITA TENA
wa tanzania mhesh john pombe joseph magufuli pembeni ikioneshwa
baadhi tu ya miradi mikubwa iliyo tekelezwa na raisi kipindi cha muhula
wake wakwanza kwa hali ya juu hii yaonesha uchapa kazi wake hivyo watu
wamependekeza apitishwe muhula wapili bila pingamizi
DUDU BAYA ATEMA CHECHE " VANESSA KUACHA MUZIKI DIAMOND,ALIKIBA NA HARMONIZE WAHUSIKA "
tanzania kujihusisha na shughuli ya muziki akiwa kama mwana
muziki @ dudubaya amewataja diamond,konde boy na alikiba
kuhusika kakita safari ya vmoney kaucha muziki msanii huyo mstaafu hakutaka
kuweka wazi wamehusika kwa namna gani na kusema kwa
taarifa zaidi watu wamfuate dm kwa maswali
YOUNG KILLER "WOLPER ALINIFUMANIA NIKIWA NA MWANAMKE MWINGINE CHUMBANI "
msodoki young killer amesema hayo baada mmoja wa mashabiki wake
kutaka kujua nini chanzo cha wawili wao kutengana akasema haya alifumaniwa
na msichana mwingine chumbani na wolper kuamua kwenda kuvishwa pete
na mtu mwingine kwa haraka bila kufikiria akitaka kuniumiza kumbe
mimi siumii maisha yanaendelea



























