TUPO KWA AJILI YAKO BABA TUNAKUPENDA SOTE

Wasanii wa bongo fleva nchini tanzania wakiwa wamevalia sare zao za   chama cha  mapinduzi
mda mchache baada ya kumalizika kwa  mkutano wa chama hicho makao makuu kule mkoani
dodoma  .wasanii hao wamekubali kumsapoti raisi wa tanzania katika harakati zake za kuelekea
katika uchaguzi mkuu mwezi wa kumi
Share:

No comments:

Post a Comment

Popular Posts

Recent Posts