Wasanii wa bongo fleva nchini tanzania wakiwa wamevalia sare zao za chama cha mapinduzi
mda mchache baada ya kumalizika kwa mkutano wa chama hicho makao makuu kule mkoani
dodoma .wasanii hao wamekubali kumsapoti raisi wa tanzania katika harakati zake za kuelekea
katika uchaguzi mkuu mwezi wa kumi
No comments:
Post a Comment