WAANDANANAJI NCHINI MAREKANI WAFIKA WHITE HOUSE RAISI @D.TRUMP ATOROSHWA NA HELIKOPTA

 Pichani ni raia wa marekani wenye hasira kali
wakiwa wamevamia ikulu kwaajili ya kuvunja masanamu
yote ya wanaharakati  walio shiriki kueneza ubaguzi wa rangi
raisi trump akiwa ndani walinzi walifanikiwa kumuondoa akiwa salama kwa
helikopta na kumpeleka arizona kumuhifadhi kule a saini 
mkataba wa @executive order
ili kuwa adhibu wale wote waliohusika
Share:

MPIRA UMEGEUKA SASA WAMEANZA KUJUTA KULE

 Nchini marekana mahali maandamano  yamefanyika  siku chache baadae kumezuka uhitaji mwingi 
wa huduma za afya  na kuwafanya wamarekani kuigeukia serikali yao
ifanye marekebisho juu ya huduma zao za afya kwani uhitaji wa huduma 
hizo nimkubwa ikifatiwa na majeruhi wa maandamano kuwa wengi
nchni

Share:

MWANAMUZUKI DON DIABLO WA NETHERLAND ATANGAZA KOLABO NA MARSHMELLOW

 Rapa from netherland @ dondiablo  ametangaza
kuachia ngoma yake mpya na msanii marshmellow hivi karibuni 
baada ya janga la corona hivyo washabiki wake wasione yupo
kimya mambo yapo stage ya mwisho kuachiwa kwa  washabiki
wake
Share:

KWELI KAKA TUPO TUNAKUSAPOTI NYUMA YAKO WEWE SONGA MBELE

 Shirika  la video la youtube linayofuraha kuwapa
tathmini na pongezi watanzania kwa kuweza kuendelea kushika chati
kwa kuongoza views kwenye channel ya youtube  kwa nchi zote za 
afrika zilizo chini ya jangwa la sahara ..anasema  rekodi hiyo  imeshikwa
na watanzania kwa muda nakumfanya diamond platmunz kuendelea
kun,gara kileleni
Share:

KWELI TUMEYAONA BABA UTAPITA TENA

 Pichani  ni  raisi wa jamuhuri ya muungano 
wa tanzania mhesh john pombe joseph magufuli   pembeni ikioneshwa 
baadhi tu ya miradi mikubwa iliyo tekelezwa na raisi kipindi cha muhula
wake wakwanza kwa hali ya juu hii yaonesha uchapa kazi wake hivyo watu 
wamependekeza apitishwe muhula wapili bila pingamizi
Share:

"MLITAKA NIFE" VANESSA MDEE AFUNGUKA MAUZAUZA ALIYOKUTANA NAYO KWENYE MUZIKI"

 Msanii wa  bongo fleva nchini tanzania  
@vanessa mdee ameamua kufunguka na kutoa sababu zilizo
mfanya yeye akaacha muziki .aelezea mazito yaliyo mkuta
asema kuna wale waliotaka afe kwani wame mletea mauzauza ya ajabu
ambayo yalikua yanamnyima raha na kumfanya achukue maamuzi magumu
Share:

DUDU BAYA ATEMA CHECHE " VANESSA KUACHA MUZIKI DIAMOND,ALIKIBA NA HARMONIZE WAHUSIKA "

 Msanii   huyo aliyepigwa marufuku nchini
tanzania kujihusisha na shughuli ya muziki akiwa kama mwana
muziki  @ dudubaya amewataja diamond,konde boy na  alikiba 
kuhusika kakita safari ya vmoney kaucha muziki msanii huyo mstaafu hakutaka
kuweka wazi wamehusika kwa namna gani na kusema kwa
taarifa zaidi  watu wamfuate dm kwa maswali
Share:

WATU 14 WAMEUAWA NA 90 KUJERUHIWA KATIKA SHAMBULIZI NCHINI MAREKANI

 Watu 14 wameuawa na wengine  kujeruhiwa nchini marekani baada ya shambulio la silaha  kufanywa na vijana
wasiojulikana baada ya kuvamia benki ya mjini chicago .tukio 
hilo limetokea usiku wa kuamkia jumatatu .watu hao bado wanaendelea
kufatiliwa najeshi la polisi nchini hapo ili wasiweze kutoroka 
Share:

YOUNG KILLER "WOLPER ALINIFUMANIA NIKIWA NA MWANAMKE MWINGINE CHUMBANI "

 Mwana muziki wa hiphop  bongo 
msodoki young killer amesema hayo baada mmoja  wa  mashabiki wake 
kutaka kujua nini chanzo  cha wawili wao kutengana  akasema haya alifumaniwa 
na msichana mwingine chumbani na wolper kuamua kwenda kuvishwa pete
na mtu mwingine kwa haraka bila kufikiria akitaka kuniumiza kumbe
 mimi siumii maisha yanaendelea
Share:

JUSTINE BEIBER AKANA MADAI YA UBAKAJI ANAYODAIWA KUFANYA MWAKA 2014

 Mwana muziki huyo wa miondoko ya RNB
nchini marekani amekanusha kashfa hizo zinazomkabili
kwani watu wawili wasiojulikana kupitia ukurasa wa twitter
wametuma ujumbe wakimshtumu justine beiber kwa 
kitendo hicho ...lakini mwenyew justine
amekanusha taarifa hizo

Share:

TEKASHI 69 " IV,E DECIDED TO CHANGE MY LIFE "

 Rapa huyo wakimarekani anayejulikana
kwajina la tekashi 69 alisema hayo kupitia jarida hilo la marekani
kwamba ameamua kubadili mtindo wa maisha yake na kuwa mtu mwema 
kwani kipindi yupo jela amejifunza mambo mengi
ya kimaisha nakumfanya abadilike
Share:

CARDI B " AM GUD WITH MY HUSBAND JUST CHILLIN SIME WHERE"

 Ikiwa  kimya kimetawala tangu corona 
kutikisa dunai msanii na rapa wa marekani @cardib ametoa
tamko kwenye page yake kuwa ondoa hofu mashabiki wake 
kwamba yeye bado yupo na anaendelea vizuri na 
maisha mengine nje ya music na mume wake 
@offset

Share:

URAISI ZANZIBAR UMEINGILIWA KILA MTU AWANIA NAFASI

 Wafuatao ni miongoni mwawale waliochukua fomu ili kugombea na kuwania nafasi ya uraisi mwaka
 2020 kule visiwani zanzibari listi hiyo ikiwa na wagombea 
wa  chama cha ccm wakiwa wamejaza nafasi  
Share:

JESHI LA POLISI LINAWASHIKILIA VIJANA WATANO KWA WIZI WA VIFAA VYA MRADI WA ZIWA VICTORIA

 Akizungumza na vyombo vya habari   
inspekta  generali wa polisi kanda ya kaskazini amesema  wanawashikilia 
vijana watano kwa tuhuma za kujihusisha na wizi wa vifaa vya ujenzi
wa mradi wa viktoria  . hivyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa
ili kutokomeza kabisa vitendo hivyo viovu
Share:

KIM KARDASHIAN ANASA DILI LA MAMILIONI SPOTIFY

 Mwanamitindo  na  mwendesha kipindi cha keeping up with kardashian  kim kardashian  amesema hayo
juzi baada ya kusaini  mkataba na kampuni  ya muziki ya spotify 
anasema mkataba huo utaweza muingizia mamillioni ya hela
hivyo hakutaka kupoteza fursa kwan wengine wange  upata
Share:

SAWA NIMEKUBALI KUWATUMIKIA

 Akiwa  katika hatua za mwisho  za kuchukua 
majukumu mazito ya kuongoza mkoa wa arusha mhesh .idd kimanta
ameapa kuongoza mkoa wa arusha vyema  na kuweka sawa yale
makosa na madhaifu yote ya kiongozi aliyepita  ili kuweza kuleta maendeleo 
katika mkoa wake na kuufanya uendembele
Share:

JAYDE ATOA POLE KWA WASICHANA WAKIKE ASEMA WANAPITIA MENGI HADI WANATOBOA

Msanii maarufu wa bongo fleva  judith wambura
maarufu kama  lady jay dee  ametumia fursa hii kuwapa pole 
wasanii wakike ambao yamewakuta mengi na wengine bado 
yanawakuta .anaeleza kuwa wasanii wengi wakike wamekua 
wakipitia masharti magumu hadi kutoka kisanaa .hivyo aanatoa
rai kwa wanawake kupinga vitendo hivyo visivyofaa kwa jamii
Share:

SHIRIKA LA NDEGE LA FASTJET KURUDISHA SAFARI ZAKE , KWA KISHINDO BEI ZA NAULI ZASHUKA

 Shirika hilo la usafiri wa anga tanzania linayo furaha
kwanza kwa kuwashukuru watanzania kwakuonesha ushirikiano
nao kwa miaka kitano sasa .hivyo shirika hilo limeamua kupitish
ofa maalum kwa watanzania wote ili tuendelee kufurahia huduma
zao .  shirika limefungua safari ya dar mpaka  kilimanjaro
kwa bei  nafuu kabisa tsh69,000 
Share:

TUMEKUCHOKA BWANA KILA SIKU UNARUDIA KITU KIMOJA BADILIKA KIDOGO

 Pichani ni mke wa mc pilipili akiwa amepostiwa 
dakika 50 zilizopita .posti hiyo imezua gumzo na kuamsha
hisia za watanzania wengi wakimtaka mc pilipili apunguze au aache
kabisa kitendo cha kumpromo / kumpigia debe sana mkewe 
kwamba ni mzuri sana  kisa  amemzalia mtoto .watu wamemtaka
apunguze ilo kwani ni ushamba sababu duniani wazuri wengi 
na pia wanazaa vilevile kama mkewe
Share:

BASATA YATOA MWONGOZO KWA WASANII KUELEKEA JUNI 29

 Hayo yamesemwa na kiongozi huyo wa basata
tanzania kwa wasanii na menejiment  akiwaomba 
kuzingatia vigezo vyote na masharti  kwani  ugonjwa bado upo
hivyo wachukue tahadhari zakutosha wakati wa shughuli zao
ili kulikabili gonjwa la corona 
Share:

Popular Posts

Recent Posts