JUSTINE BEIBER AKANA MADAI YA UBAKAJI ANAYODAIWA KUFANYA MWAKA 2014

 Mwana muziki huyo wa miondoko ya RNB
nchini marekani amekanusha kashfa hizo zinazomkabili
kwani watu wawili wasiojulikana kupitia ukurasa wa twitter
wametuma ujumbe wakimshtumu justine beiber kwa 
kitendo hicho ...lakini mwenyew justine
amekanusha taarifa hizo

Share:

TEKASHI 69 " IV,E DECIDED TO CHANGE MY LIFE "

 Rapa huyo wakimarekani anayejulikana
kwajina la tekashi 69 alisema hayo kupitia jarida hilo la marekani
kwamba ameamua kubadili mtindo wa maisha yake na kuwa mtu mwema 
kwani kipindi yupo jela amejifunza mambo mengi
ya kimaisha nakumfanya abadilike
Share:

CARDI B " AM GUD WITH MY HUSBAND JUST CHILLIN SIME WHERE"

 Ikiwa  kimya kimetawala tangu corona 
kutikisa dunai msanii na rapa wa marekani @cardib ametoa
tamko kwenye page yake kuwa ondoa hofu mashabiki wake 
kwamba yeye bado yupo na anaendelea vizuri na 
maisha mengine nje ya music na mume wake 
@offset

Share:

URAISI ZANZIBAR UMEINGILIWA KILA MTU AWANIA NAFASI

 Wafuatao ni miongoni mwawale waliochukua fomu ili kugombea na kuwania nafasi ya uraisi mwaka
 2020 kule visiwani zanzibari listi hiyo ikiwa na wagombea 
wa  chama cha ccm wakiwa wamejaza nafasi  
Share:

JESHI LA POLISI LINAWASHIKILIA VIJANA WATANO KWA WIZI WA VIFAA VYA MRADI WA ZIWA VICTORIA

 Akizungumza na vyombo vya habari   
inspekta  generali wa polisi kanda ya kaskazini amesema  wanawashikilia 
vijana watano kwa tuhuma za kujihusisha na wizi wa vifaa vya ujenzi
wa mradi wa viktoria  . hivyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa
ili kutokomeza kabisa vitendo hivyo viovu
Share:

KIM KARDASHIAN ANASA DILI LA MAMILIONI SPOTIFY

 Mwanamitindo  na  mwendesha kipindi cha keeping up with kardashian  kim kardashian  amesema hayo
juzi baada ya kusaini  mkataba na kampuni  ya muziki ya spotify 
anasema mkataba huo utaweza muingizia mamillioni ya hela
hivyo hakutaka kupoteza fursa kwan wengine wange  upata
Share:

SAWA NIMEKUBALI KUWATUMIKIA

 Akiwa  katika hatua za mwisho  za kuchukua 
majukumu mazito ya kuongoza mkoa wa arusha mhesh .idd kimanta
ameapa kuongoza mkoa wa arusha vyema  na kuweka sawa yale
makosa na madhaifu yote ya kiongozi aliyepita  ili kuweza kuleta maendeleo 
katika mkoa wake na kuufanya uendembele
Share:

JAYDE ATOA POLE KWA WASICHANA WAKIKE ASEMA WANAPITIA MENGI HADI WANATOBOA

Msanii maarufu wa bongo fleva  judith wambura
maarufu kama  lady jay dee  ametumia fursa hii kuwapa pole 
wasanii wakike ambao yamewakuta mengi na wengine bado 
yanawakuta .anaeleza kuwa wasanii wengi wakike wamekua 
wakipitia masharti magumu hadi kutoka kisanaa .hivyo aanatoa
rai kwa wanawake kupinga vitendo hivyo visivyofaa kwa jamii
Share:

SHIRIKA LA NDEGE LA FASTJET KURUDISHA SAFARI ZAKE , KWA KISHINDO BEI ZA NAULI ZASHUKA

 Shirika hilo la usafiri wa anga tanzania linayo furaha
kwanza kwa kuwashukuru watanzania kwakuonesha ushirikiano
nao kwa miaka kitano sasa .hivyo shirika hilo limeamua kupitish
ofa maalum kwa watanzania wote ili tuendelee kufurahia huduma
zao .  shirika limefungua safari ya dar mpaka  kilimanjaro
kwa bei  nafuu kabisa tsh69,000 
Share:

TUMEKUCHOKA BWANA KILA SIKU UNARUDIA KITU KIMOJA BADILIKA KIDOGO

 Pichani ni mke wa mc pilipili akiwa amepostiwa 
dakika 50 zilizopita .posti hiyo imezua gumzo na kuamsha
hisia za watanzania wengi wakimtaka mc pilipili apunguze au aache
kabisa kitendo cha kumpromo / kumpigia debe sana mkewe 
kwamba ni mzuri sana  kisa  amemzalia mtoto .watu wamemtaka
apunguze ilo kwani ni ushamba sababu duniani wazuri wengi 
na pia wanazaa vilevile kama mkewe
Share:

BASATA YATOA MWONGOZO KWA WASANII KUELEKEA JUNI 29

 Hayo yamesemwa na kiongozi huyo wa basata
tanzania kwa wasanii na menejiment  akiwaomba 
kuzingatia vigezo vyote na masharti  kwani  ugonjwa bado upo
hivyo wachukue tahadhari zakutosha wakati wa shughuli zao
ili kulikabili gonjwa la corona 
Share:

HABARI NJEMA KWA WATANZANIA WOTE VIWANJA BEI SAWA BURE NCHI NZIMA

Habari njema zimetufikia hivi punde  katika ofisi
kwa watanzania wote neema ya viwanja imeshuka
tanzania bei ya viwanja sawa na bure kwani bei zake
ni ndogo sana na zina kidhi haja na mapato  ya watanzania wote  
nhini   tembelea maeneo ya chanika ,kitunda,bagamoyo bunju nk...

Share:

MTOTO WA UWOYA " MIMI NI MVULANA SIO MSICHANA NITA WASHTAKI WANAONIDHIHAKI MAMA YANGU ANALIA SANA"

 Mtoto huyo wa irene uwoya anayejulikana 
kwajina la krish hamad ndikumana ameamua kuvunja hali
ya ukimya  iliyotanda kwa muda kidogo kwan watu wamemkejeli 
vyakutosha mtu yeyetr atakaye endeleza tabia hiyo
ni tamshatki
Share:

HABARI NJEMA KUTOKA SHIRIKA LA NDEGE LA KLM KWA WATANZANIA WOTE

 Shirika  la  ndege la  ulaya la klm linaya furaha 
kuwataarifu  watanzania wote kuwa  limeboresha huduma 
zake ili kurahisisha ratiba na kupunguza makosa yaliyo kuwa yakitokea
pia wanampango wahivi karibuni kupunguza bei ya usafiri 
kwa watanzania kwenye kipindi spesho ili watanzania wa hali 
zote waweze kupata na kufurahia huduma zao
Share:

TUWAKILISHE VYEMA WATANZANIA WENZAKO TUNAKUTEGEMEA

 Ni kwa mara nyingine tena msanii na mmiliki wa lebo ya  wcb diamond platnumz  ameweza kupata wito 
kuweza kuwania tuzo zinazofadhiliwa na shirika la mtv 
akiwa ni kama mmoja wa wale wageni waalikwa

Share:

NGOMA MPYA YA SO HOT YA ALIKIBA YAENDELEA KUVUKA MIPAKA MPAKA KULE 254


 Ikiwa zimepita  siku chache  tangu msanii kutoka lebo ya kings music
alikiba kuachia ngoma yake mpya
inayoenda kwa jina laso hot .ngoma
ambayo imemuongezea dau sokoni kwani ameachia ngoma kali kuendana namatakwa ya mashabiki
wake 
Share:

MEMBE " NIMEFUKUZWA CCM BILA IDHINI YA NEC WAKINISAFISHA KESHO ASUBUHI NATINGA KUCHUKUA FOMU YA URAISI "

 Aliyekuwa  waziri wa mambo ya nje tanzania
dk benerd membe  ambaye alikua anahusishwa na
kosa la kumsema vibaya mwenyekiti wake raisi 
mhesh magufuli alipewa adhabu ya kufutwa uanachama
wa chama cha ccm sasa atangaza kuwania uraisi 
kwa mara nyingine
Share:

MSANII NGULI WA BONGO FLEVA TANZANIA KONDE BOY AMEKIRI KUUMIZWA NA WOLPER NA KUMUANDIKIA WIMBO NISHAPONA ULIOGHARIMU SHILINGI MILL.4

 Msanii na mmiliki wa lebo ya konde music world wide  amekiri na kusema kuwa mchumba wake wa zamani 
jackline wolper alimuumuza sana  na kumburuza  kipindi cha 
uhusiano wao ila leo amesahau yote kwani yupo mahali
salama kwa mpenzi wake mpya  @sarah 
Share:

NYALANDU ATAJA KIPAUMBELE CHA KWANZA NI WATANZANIA KUFURAHI

 Ikiwa zimebaki siku chache kuelekea 
uchaguzi mwenyekiti wa chadema kanda ya kati   
lazaro nyalandu amesema kuwa kipaumbele cha
kwanza ni kuhakikisha kuwa watanzania  wote
wafurahi  kwani kila mtu  anahaki ya kufurahia 
maisha 

Share:

UTEUZI MPYA ULIOFANYWA NA MAGUFULI LEO JUMAPILI TAR 21/06/2020

 Ikiwa ni siku ya jumapili ya tarehe 21/06/2020
kumetokea gumza serikalini  baada ya mhesh raisi john magufuli
kuchukua uamuzi wa kumtoa madarakani mmoja wa viongozi 
wake na kumteua mwingine  ikiwa tupo dakika za mwisho 
kuelekea zoezi la uchaguzi
Share:

Popular Posts

Recent Posts